CHOMETE AIKUMBUSHA SERIKALI KUPELEKA FEDHA KWENYE MIRADI YA MAJI

 


Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara Ghati Zephania  ameomba Serikali kupeleka Fedha zilizoombwa ili kukamilisha Miradi ya Maji Mkoani Mara na kutumiza lengo la DKT Samia Suluhu Hassan la kumtua mama ndoo kichwani

 Chomete etoa kauli hiyo katika Bunge la Bajeti kwa mwaka wa Fedha 2026-2027 ambapo amesema  kucheleweshwa kwa Fedha za miradi hiyo ya maji katika Wilaya na  Mkoa wa Mara kunazidi kuwaathiri wananchi katika kupata huduma hiyo muhimu katika jamii, pamoja na kuathiri kabisa shughuli za Kiuchumi na kijamii.

Powered by Blogger.