POLISI KATA WATAKIWA KUSHIRIKIANA NA VIKUNDI VYA ULINZI KATIKA MAENEO YAO.
Polisi kata na watendaji wa kata zilizopo Wilayani Mpanda Mkoani Katavi wametakiwa kuratibu na kufanya doria za kutosha kwa kushirikiana na ...
Polisi kata na watendaji wa kata zilizopo Wilayani Mpanda Mkoani Katavi wametakiwa kuratibu na kufanya doria za kutosha kwa kushirikiana na ...
Mkuu wa Mkoa wa Mara Kanali Evance Mtambi, ametoa masaa 24 kukamilishiwa malipo ya fidia ya ardhi na makazi ya familia yam zee Ruhumbika...
Na Mussa Mamlaka ya mapato Tanzania TRA mkoa wa Mara imegawa bidhaa mbalimbali katika Taasisi za serikali ikiwemo magereza zilizokamatwa ba...
MBUNGE wa Jimbo la Bariadi Mjini, Mhandisi Kundo Mathew, amesema kuwa Serikali ya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan imetoa kiasi cha Shilingi B...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikagua gwaride la heshima baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege w...
Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Arusha, Saipulan Ramsey, amesema Serikali ya Awamu ya Sita haiwe...
Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, amewataka wakandarasi kuhakikisha wanakamilisha kazi zilizobaki za mradi wa njia ya umeme wa kilovot...
*Ni baada ya kukamilika kwa njia ya kusafirisha umeme ya kilovoti 33 Masasi – Mtwara *Mradi umeimarisha upatikanaji wa umeme wa uhakika kw...
Wakati Afrika inatumia mwezi Juni kuadhimisha Siku ya Mtoto wa Kiafrika, fursa inayoipatia jamii wasaa wa kutafakari haki, utu, na mustaka...
Mkuu wa wilaya ya Musoma Juma Chikoka amewaongoza maafisa wa mamlaka ya mapato Tanzania TRA kupanda Miti katika shule ya sekondari Mara seko...
Mbunge wa viti Maalum Mkoa wa Mara Ghati Chomete ameiomba serikali kutoa shilingili Bilioni 14 kwaajili ya ukamilishaji wa hospital ya Kum...
Serikali imetakiwa kuulinda kwa nguvu zote mgodi wa Dhahabu wa North Mara kutokana na mashambulizi yasiyo ya haki inayopata kutoka kwa wan...
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mara Patrick Chandi ameongoza kupatikana na shilingi Milioni 27 –kati ya milioni 36 zinazohitajika kwaajili ...
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara Ghati Zephania ameomba Serikali kupeleka Fedha zilizoombwa ili kukamilisha Miradi ya Maji Mkoani Mara ...
Kushoto ni Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara Bi.Ghati Chomete akishiriki katika uzinduzi wa kampeni y ya Uadilifu katika ushirika Mbunge w...
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Ryimo Nyansaho, ameongoza harambee iliyofanikisha kukusanya shilingi milioni 641 kwa ajil...