MKUU WA MKOA WA MARA AWATAKA WAWEKEZAJI KUFUFUA VIWANDA VYA SAMAKI MKOANI HUMO; UNAWEZA KUTIAMA PICHA ZA MATUKIO YOTE YA KIKAO HICHO;
Alie simama ni mkuu wa mkoa wa mara dkt Charles Mlingwa kushoto kwake ni mkuu wa wilaya ya musoma DK Vicent Naahano kulia kwake ni meya wamanispaa ya musoma Mheshimiwa GUMBO.
Na MAKALIBLOG.MUSOMA, MARA
Mkuu wa mkoa wa mara dk charles mlingwa amewata wawekeaji kuanza kufufua viwanda vya samaki vilivyokuwa vimefungwa maana samaki wapo wakutosha.
MPANGO mkakati wa utunzaji wa mazingira katika ziwa Victoria umezinduliwa katika nchi tatu za Uganda , Kenya na Tanzania ili kutunza rasilimali zilizomo na kuweza kukuza uchumi wa wananchi .
mpango huo umezinduliwa jana naMkuu wa Mkoa wa Mara Dk. Charles Mlingwa katika ukumbi wa Uwekezaji uliopo ofisi ya mkuu wa mkoa.
Dk. Mlingwa alisema nchi tatu hizo hazina budi kufanya ulinzi shirikishi katika utunzaji wa mazingira wa ziwa victoria ambao nikama mgodi wa asali ambao utakuza uchumi ifikapo 2020 tuweze kuondokana na umaskini.
‘’Panahitajika ulinzi shirikishi kwa nchi hizi tatu ili ziwa hili lisitumiwe na maharamia na kutumiwa kupitisha magendo’’alisisitiza.
Aidha aliongeza kuwa endapo watatimiza wajibu wao katikakutekeleza majukumu ya kazi zao wataweza kufanya matumizi endelevu ya rasilimali zilizomo ndani ya Ziwa hilo.
Amewataka pia kuungana kwa pamoja na kuhakikisha wanapiga vita uvuvi haramu kwa kuzuia nyenzo haramu na kuwadhibiti wanaotumia sumu katika uvuvi haramu bali watumie ziwa hilo ipasavyo katika kuinua uchumi wa Afrika Mashariki kwa kuwekeza katika viwanda vya samaki na kuibua miradi mbalimbali itokanayo na ziwa hilo.
Amewashauri pia kutumia vizuri ziwa hilo katika kilimo cha umwagiliaji kwa kuangalia mabadiliko ya tabia ya nchi na kuwawezesha wananchi wapate miundombinu ya kilimo endelevu ili waweze kuepukana na njaa .
Naye Kaimu katibu Mkuu Ushirikiano wa halmashauri zinazozunguka ziwa Victoria Edwin Magere alisema nia ya uzinduzi huo wa mpango mkakati wa utunzaji mazingira wa ziwa victoria kwa njia nyingine ni kuwashirikisha wadau wote wa chini ili kuboresha utunzaji wa mazingira katika ziwa hilo.
Kwa upade wake mkuu wa wialaya ya Musoma DAKTAR VICENT NAANO. ambae pia amekuwa akishiriki kwa ukubwa na ulinzi wa ziwa victoria hasa kupamabana na uvuvi haramu amesema ipo haja ya kuweka sheria ndogo ndogo kwa ajiri ya ya kulinda ziwa hilo.
amesema bila kuweka sheria hizo itakuwa nikama wanancheza tu tarabu lakini kama itakuwepo jitihada na sheria kali itafanya kuliweka ziwa vizuri nakupata samaki ambao wakao tiari kwa ajiri ya matumizi.
Wajumbe wa mkutano wakujadiri mazingira kutoka nchi tatu TANZANIA, KENYA ,NA UGANDA.
Wajumbe wakifatiria kilichokuwa kinawsilishwa katika kikao hicho.
DKT Vicent Naahano akizungumzia mkuhusia na utunzwaji wa ziwa victoria ambapo amekuwa nimmoja ya viongozi waliopambana na uvuvi haramu.
wajumbe kutoka maeneo mabalimbali wakisikiliza mkuu wa mkoa wakati akizindua mpango kazi huo.
TANGAZA NA MAKALIBLOG
Na MAKALIBLOG.MUSOMA, MARA
Mkuu wa mkoa wa mara dk charles mlingwa amewata wawekeaji kuanza kufufua viwanda vya samaki vilivyokuwa vimefungwa maana samaki wapo wakutosha.
MPANGO mkakati wa utunzaji wa mazingira katika ziwa Victoria umezinduliwa katika nchi tatu za Uganda , Kenya na Tanzania ili kutunza rasilimali zilizomo na kuweza kukuza uchumi wa wananchi .
mpango huo umezinduliwa jana naMkuu wa Mkoa wa Mara Dk. Charles Mlingwa katika ukumbi wa Uwekezaji uliopo ofisi ya mkuu wa mkoa.
Dk. Mlingwa alisema nchi tatu hizo hazina budi kufanya ulinzi shirikishi katika utunzaji wa mazingira wa ziwa victoria ambao nikama mgodi wa asali ambao utakuza uchumi ifikapo 2020 tuweze kuondokana na umaskini.
‘’Panahitajika ulinzi shirikishi kwa nchi hizi tatu ili ziwa hili lisitumiwe na maharamia na kutumiwa kupitisha magendo’’alisisitiza.
Aidha aliongeza kuwa endapo watatimiza wajibu wao katikakutekeleza majukumu ya kazi zao wataweza kufanya matumizi endelevu ya rasilimali zilizomo ndani ya Ziwa hilo.
Amewataka pia kuungana kwa pamoja na kuhakikisha wanapiga vita uvuvi haramu kwa kuzuia nyenzo haramu na kuwadhibiti wanaotumia sumu katika uvuvi haramu bali watumie ziwa hilo ipasavyo katika kuinua uchumi wa Afrika Mashariki kwa kuwekeza katika viwanda vya samaki na kuibua miradi mbalimbali itokanayo na ziwa hilo.
Amewashauri pia kutumia vizuri ziwa hilo katika kilimo cha umwagiliaji kwa kuangalia mabadiliko ya tabia ya nchi na kuwawezesha wananchi wapate miundombinu ya kilimo endelevu ili waweze kuepukana na njaa .
Naye Kaimu katibu Mkuu Ushirikiano wa halmashauri zinazozunguka ziwa Victoria Edwin Magere alisema nia ya uzinduzi huo wa mpango mkakati wa utunzaji mazingira wa ziwa victoria kwa njia nyingine ni kuwashirikisha wadau wote wa chini ili kuboresha utunzaji wa mazingira katika ziwa hilo.
Kwa upade wake mkuu wa wialaya ya Musoma DAKTAR VICENT NAANO. ambae pia amekuwa akishiriki kwa ukubwa na ulinzi wa ziwa victoria hasa kupamabana na uvuvi haramu amesema ipo haja ya kuweka sheria ndogo ndogo kwa ajiri ya ya kulinda ziwa hilo.
amesema bila kuweka sheria hizo itakuwa nikama wanancheza tu tarabu lakini kama itakuwepo jitihada na sheria kali itafanya kuliweka ziwa vizuri nakupata samaki ambao wakao tiari kwa ajiri ya matumizi.
Wajumbe wa mkutano wakujadiri mazingira kutoka nchi tatu TANZANIA, KENYA ,NA UGANDA.
Wajumbe wakifatiria kilichokuwa kinawsilishwa katika kikao hicho.
DKT Vicent Naahano akizungumzia mkuhusia na utunzwaji wa ziwa victoria ambapo amekuwa nimmoja ya viongozi waliopambana na uvuvi haramu.
wajumbe kutoka maeneo mabalimbali wakisikiliza mkuu wa mkoa wakati akizindua mpango kazi huo.
TANGAZA NA MAKALIBLOG