CDF TARIME WATOA MAFUNZO YA UONGOZI KWA VIJANA KUTOKA KATA NANE.
Afisa Msaidizi wa Mradi CDF Janeth Epaphra akieleleza umhimu wa uongozi pamoja na madhara ya ukeketaji kwa vijana hao katika ukumbi wa MCN Hotel Mjini Tarime. |
Somo linaendelea |
Afisa Msaidizi wa Mradi CDF Janeth Epaphra akieleleza umhimu wa uongozi pamoja na madhara ya ukeketaji kwa vijana hao katika ukumbi wa MCN Hotel Mjini Tarime. |
Tunaandika kile tulichojifunza |
Kambibi Kamugisha kutoka CDF akisisitiza jambo katika mafunzo hayo |
Wakifanya Mahojiano na CLEO24 NEWS |
washiriki wakijibu Maswali ya makundi |
Picha ya pamoja |