Vijana na wanawake walionufaika na mkopo huo wakiwa
katika picha ya pamoja
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Tarime Hamis
Nyanswi na Mbunge wa Jimbo la Tarime Mjini EstherMatiko wamekabidhi hundi
ya shilingi milioni 10 ikiwa ni mkopo kwa vikundi 13 vya vijana na
wanawake ili kuwasaidia kuendeleza biashara zao.Mkopo huo umetolewa na Halmashauri
ya Mji wa Tarime.
|