KIGERA FC WATISHIA KUGOMEA MASHINDANO YA ABU TEGE ENDAPO TIMU YA JESHI LAKUTULIZA GHASIA F.FU MUSOMA WATASHIRIKI;

Mashabiki
wa mpira wa miguu wa timu ya kigera fc wamewaomba wachezaji wa timu hiyo
kutoyagomea mashindano ya ABU TEGE CONCIOUS NDONDO CUP
ambayo
yalianza kutimua vumbi katika viwanaja vya mara secondary na kuvunjika kutokana timu ya F.F U,
musoma kufanya fujo katika mashindano hayo.
Tarifa
za kuaminika kutoka katika clabu ya kigera fc almarufu maveterani zinadai kuwa
hawataweza kushiriki katika mashindano hayo kutokana na fujo zilizofanywa na
timu hiyo ya jeshi la kutuliza ghasia katika mchezo uliochewa march5,2017,
siiku ya jumapili endapo polisi wakishiriki basi maveterani hawatashiriki tena.
Katika
mchezo huo uliokuwa chini ya referee bw, mwinyi kutoka musoma ambapo hadi
dakika ya sabini na tano kigera walikuwa wakiongoza kwa magoli manne kwa
mawaili.
Wameahidi
kutoshiriki mashindano hayo kutokana na vurugu ambazo zinaweza kujitokeza
katika mashindano hayo ambao baadhi ya askari poli wanaochezea katika kikosi
hicho nawasio wachezaji wamekuwa na tabia ya kuanzisha fujo timu yao inapokuwa
inafungwa.
“”Manjua atakuja kuumia mtu hapa tulete
fujo wao wamekuwa wakifungwa wanagomea iweje sisi tukikutana nao robo fainali
au nusu fainali watufunge unafikiri mashabiki wetu watatuelewa hawawei
wataanzisha fujo ilikulipiza kisasi,Alisema mmoja wawachezaji wa kigera
vetelani.
Ambapo
inadaiwa watu kazaa waliumizwa kwa kupigwa na maskari polisi hao kutokana
nakuanza kuwashambulia wananchi ,mmoja waliojeruhiwa ni mwanajeshi wa jeshi la wananchi
Tanzania aliezingirwa nakuanza kushambuliwa na askar polis hao pamoja na raia
wengine ambao mpaka sasa ni majeruhi kwakupigwa na maaskari hao.
Mpaka
sasa kuna baadhi ya mashabiki ambao wamepanga kuwafungulia kesi baadhi ya
maaskari polisi walioshiriki katika kitendo hicho ilikupata haki yao ya msingi
mpaka sasa polisi hao wamejenga uhasama na baadhi ya raia kutokana na kushindwa
kutumia mchezo kama njia rahisi ya kuwaunganisha raia na polisi.
Ikumbukwe
kuwa simara ya kwanza wachezaji wa timu hiyo kufanya fujo kwani December,2016
mashindano yaliyo fanyika katika viwanja hivyo hivyo waligomea penart na
hatimae kuanzisha fujo katika mashindano na timu hiyo ya polisi kuondolewa kwa
mujibu wakanuni ya mashindano hayo.
“Tutaleta matatio wakirudi hawa kwani
wametutishia kutukamata kwa kutufata hadi nyumbani iweje waje wacheze tena
nibora tujiondoe sisi ilikutoa fujo ambazo zinaweza kuibuka’ alisema mmoja
wachezaji wa kigera fc.
Kigera
fc ama maveteran ni mmoja ya timu kubwa na yenye washabiki wengi mfano wa samba
au yanga za dare s salam ambapo nanimoja ya timu yenye historia ya kutofungwa
kirahisi katika viwanja vya nyumabi ambapo timu nyingi zimekuwa zikipata tabu
sana kuifunga timu hiyo ambapo mmoja kubwa ni polis force ya musoma ambapo
wamekuwa wakianzisha fujo kila wanapokutana na timu hiyo.
Na
maliza na kusema lazima askari hawa waangaliwe kwani wao nichachu ya kujenga
ukaribu na raia nasikujenga uadui ambapo hiii inaweza kusababisha kutopata
tarifa ama ushirikiano wakati wakitimiza shughuiza zao salamu kwa bodi ya
michezo mkoa wa mara kuangalia timu zinazoshiriki nakuzipa kipaumbele ilikuoko
vijana wanao tafuta ulaji kupitia gozi la ng’ombe