Mama Graca Machel apokea ripoti ya utafiti wa watoto walio nje ya mfumo wa shule,MUSOMA MKOANI MARA


 

Askofu wa Jimbo  la Roman Katoliki la Musoma  Michael Msonganzila akimpokea  Mama Graca Machel ambaye amewasili mjini Musoma Mkoani Mara leo  kwa zira ya siku tatu .

Mke wa aliyekuwa rais wa Msumbiji, Samora Machel na rais wa Afrika Kusini, Nelson Mandela Graca Machel leo ameanza Ziara ya kikazi ya siku tatu katika Mkoa wa Mara ambapo amepokea taarifa ya utafiti wa mradi wa watoto walio nje ya mfumo wa shule kwa sababu mbalimbali ujulikanao kama 'out of school project'. Mradi huo unatekelezwa na Mara Alliance kwa kushirikina na Graca Machel Trust(GMT) na Serikali ya Mkoa wa Mara.



Askofu wa Jimbo  la Roman Katoliki la Musoma  Michael Msonganzila akimpokea  Mama Graca Machel ambaye amewasili mjini Musoma Mkoani Mara leo  kwa zira ya siku tatu .


Mama Graca Machel akiongea na wadau na viongozi wa Serikali Mkoani Mara


Baadhi ya wadau  akiwemo Mkuu wa Wilaya ya Butiama Anna-rose Nyamubi wakimsikiliza  Mama Mama Machel



Askofu Msonganzila akitoa taarifa fupi kuhusu kuhusu mradi watoto walio nje ya mfumo wa shule kwa Mama Machel
Powered by Blogger.