MKUU WAWILAYA YA TARIME AENDELEZA ZOEZI LAKE LA KUFYEKA BHANGI;
BADO HARAKATI ZINAENDELEA ZA KUFYEKA NAKUTAKATISHA ZAO HARAMU LA BHANGI WILAYANI TARIME MKOANI MARA AMBAPO MKUU WAWILAYA HIYO AMEJIZATITI KUKOMESHA ULIMAJI ULIOKUWA UMEKITHIRI KATIKA WILAYA HIYO; KAMPENI HIYO INAONGOZWA NA GLORIUS LUOGA DC TARIME.
PICHA NA cleo newz blog
![]() |
| MKUU WA
WILAYA YA TARIME GLORIOUS LUOGA AKIFYEKA BANGI KATIKA ZOEZI ZIMA LA
KUTEKETEZA MASHAMBA HAYO HII LEO KITONGOJI CHA MWARA KIJIJI CHA
NYARWANA KATA KIBASUKA WILAYANI TARIME MKOANI MARA |
![]() |
| MTUHUMIWA AKIHOJIWA BAADA YA KUKUTWA ANAVUNA BANGI |
![]() |
| WANAHOJIWA |
![]() |
| MASHAMBA YA BANGI |
![]() |
![]() |
![]() |
![]() |
![]() |
![]() |
| WATUHUMIWA BAADA YA MSAKO MKALI |
![]() |
| ASKARI POLI AKIONESHA BAADHI YA MBEGU ZA BANGI |
![]() |
![]() |
| MAGARI YAKISHUSHA BANGI |
![]() |
| HAWA NIWATUHUMIWA WALIOKAMATWA NA JESHI LA POLISI ANAEZUNGUMZA NAE NI( OCD) NYAMWAGA MOURICE OKINDA |
![]() | |
BANGI |
















