SHILINGI MILION MOJA NA LAKI NNE ZATOLEWA WILAYANI TARIME KUNUSURU KAYA ZILIZOUNGUA NA MOTO
Kutokana na mvua zianazoendelea
kunyesha baadhi ya mikoa hapa nchini, Zaidi ya shilingi millioni moja na laki
Nne zimetolewa kwa kaya 11 zilizopatwa najanga lakuungua
nyumba zao ambapo Nyumba 15 katika kitongoji cha Nyabikondo
kijiji cha Kewanja kata ya Kembambo Nyamongo Wilayani Tarime mkoani Mara ili
wanachi waweze kumalizia ujenzi wa Nyumba hizo ili kuondokana na adha ya
Mvua ambazo zimekuwa nikero kwao.
wananchi hao wakipokea msaada
wakukamilisha nyumba zao kujenga ambapo msaada huo umetolewa na mwenyekiti wa
halmashauri ya wilaya ya tarime bw moses misiwa wameishukuru serikali ya wilaya
hiyo kwa kuwajali kutokana na adha ambayo wanaipata kwa sasa wakati huu wa mvua
zikiendelea kunyesha.
Moses Misiwa amesema kuwa suala hilo
limepatiwa ufumbuzi baada ya Ofisi ya Mkuu wa Wilaya pamoja na mkurugennzi
kutemmbelea maeneo hayo na kutoa fedha hizo ili kuwasaidia kumalizia ujenzi wa
nyumba zao kuondokanana na adha wanayoipata wakati huu wa mvua.
Kwa upande wake Mtendaji wa Kijiji
cha Kewanja Sumun Samson amesema kuwa suala hilo la nyumba kuungua
zenyewe lilichukua takribani siku sita bila kupatiwa ufumbuzi huku
zikungua jumla ya Nyumba 15 katika kaya 11
Ikumbukwe
kuwa moto uliokuwa unawake katika vijiji hiyo ulikuwa unahusishwa na imani za
kishirikina