MAIKO WAMBURA APANIA KUINUA SOKA MKOANI MARA AJA NA MIKAKATI KABAMBE




Mwenyekiti wa chama cha michezo mkoani m
ara maiko wambura ametoa misaada ya mipira mine itakayotumika katika ligi ya mkoa ambapo lengo likiwa nikuboresha michezo mkoani humo nakuibua vipaji kwa ajili ya taifa lakesho
Wambura wakati akitoa mipira hiyo kwa timu za wanaume  naligi ya wanawake pia wamepewa mipira sita ambayo itasaidia katika maandalizi mbalimbali yaligi hiyo
Ligi ya mkoa inatarajiwa kuanza octomber30, mwezi huu ambapo itashirikisha timu ambazo zitajitokeza ilikutafuta timu ambayo itasaidia kuiua vipaji ikiwemo kuwa natimu ya combaini ya mkoa ambayo itaitwa kumbu kumbu ya mwalimu nyerere  ambapo.
Huku akijzungumzia timu ya polisi mara amesema sasa wanamipango kuirejesha timu hiyo kuwa timu ya jamiiii kamati mbalimbali zimeundwa ilikunusuru  ligi hiyo lakini pia kuepuka viongozi waliko kwa ajili ya maslahi nasikuangalia soka kwa ujumla



                     
                                  mwenyekiti wa chama cha michezo mkoani mara akizungumza na wandishi wa habari     
 mwenyeki kulia kushoto ni sophia james mwenyekiti wa chama chamipira wananwawke mkoani mara
 kushoto nimwenyekiti  maiko wambura akimkabidhi sophia mipira kwa ajili ya chama cha wananwake





mwenyeki maiko wambura katika kushoto ni bwana samweli katiku wa mpira kushoto ni sophia wakati mwemyekiti wambura akizungumza na wanahabari.


Powered by Blogger.