MAKAMU WA RAIS APONGEZA MRADI MKUBWA WA MAJI UNAOTEKELEZWA NA MUWASA.



alieshikiria mic ni mkurugenzi wa muwasa Bwana Saidi gantala na kulia kwake ni  mkamu wa raisi akimuonysha mradi unavyotekelezwa.
 
 
mkamu wa Rais akipanda mti katika mradi mkubwa wa maji muwasa uliko Bukanga
wananchi wakimfatiria makamu wa raiisi katika mkutano wake




mmoja ya mitambo inayotumika katika mradi wa maji 


mafundi wakiwa kzini

Makamu wa Rais mama samia suluhu hasani ameupongeza mkoa wa mara kupitia mkurugenzi wa shirika la maji safi na salama mkoani humo MUWASA,Bwana Said GANTALA kwa kutekeleza kwa asilimia kubwa mradi mkubwa wa maji utakao hudumia wananchi na wakazi wa meneo jirani kwa kiwango cha juu.
Aliyasema hayo katika viwanja vya mkendo vilivyopo musoma mkoani mara alipokuwa akiwahutubia  mamia na wakazi wa mkoa huo mara baada ya kutembelea mradi huo mkubwa wamaji ambao unatarajiwa kukamilika june30 mwaka huu.
Mama samia alisema kuwa lengo kubwa la awamu ya tano nikuyafikia malengo  naahadi walizo ahidi kuzitimiza na ikiwezekana kuzikamilisha kabisa ambapo sasa mmoja ya mirad mikubwa ambao unatekelezwa na MUWASA ni mradi ambao unategemewa kusaidia wananchi hao kwani maji yake hayatakuwa na haja ya kuchemshwa kwani yanatekelezwa kwa utenegenezwa kwa kiwango cha juu.
Makamu wa Rais alipata nafasi ya kutemebele mradi huo nakujionea kazi kubwa wanayoifanya shirika hilo nakuwataka wananchi kushirikiana na nakuzitumia fursa ambazo zinatolewa ikiwemo kuchimba visima kwa ajiri ya kupitishiwa mabomba ya maji.

Alisema kuwa kupitia mradi huo mkubwa wa maji utakuwa  Mkombozi kwa wananchi wa Manispaa ya  Musoma na wilaya ya butiama.
Ambapo mradi huo mpaka sasa umefikia asilimia ya mwisho katika ukamilishaji wake.nami kama mmiliki wa MAKALIBLOG. Naweza kusema kwamba natumia fursa hii kuwapongeza (MUWASA). Kwakazi kubwa mnayoifanya yakutambua matatizo yanayowakumba wananchi na watumiaji wa huduma zenu kuongeza nakupanua huduma zenu nakuanzisha mradi kama huu ambao wengi wao wenye akiri finyu walifiri hautakamilika.
Lakini pia endeleeni na utii huo wakuahidi vitu  nakuvikamilisha kwani mmeonyesha nyinyi kweli niwakombozi na wasidizi namnatambua wateja wenu.
Aidha shirikianeni na ofisi ya mkoa,wananchi na wilaya kwa siku zote kwani ummoja ni nguvu na utengano ni udhaifu lakini pia toeni tarifa kwa kuwajuza wananchi panapotokea tatizo na toeni elimu kuhusiana nahuduma zenu kwa ushihi kupitia maafisa wa shirika lenu ili kuepusha kelele zinazoweza kuwatatza na maliza kwa kusema hongeleni MUWASA.
Powered by Blogger.