MWENYEKITI WA CCM WILAYANI RORYA ASEMA HATA WASAMEHE WASIOFATA MADILI YA CHAMA

 UNAWEZA KUTAZAMA MATUKIO YA PICHA MBALIMBALI YA MKUTANO HUO
Na MAKALIBLO.MARA
mwenyekiti wa ccm wilaya ya rorya SAMWELI KIBOYE,maarufu namba tatu kulia kwake ni katibu wa ccm mkoa wa mara.

Mwenyekiti wa ccm wilayani rorya samweli kiboye marufu namba tatu amesema hata wafumbia macho viongozi wowote watako kiuka maagizo ya chama katika chaguzi zozote kwa lengo lakulinda heshima ya chama.

 
Chama cha mapinduzi (CCM) Mkoani Mara kimesema kuwa hakitafumbia macho kiongozi yeyote atakayetumia Rushwa kwa lengo la kupata uongozi katika chaguzi zozote  kwa lengo la kulinda heshima ya chama hicho ikiwa ni pamoja na kuchukua hatua kali kwa kutupilia mbali jina lake ili kupata kiongozi mwenye sifa za kuongoza  kwa lengo la kuletea Watanzania Maendeleo.

Hayo yamebainishwa na Katibu wa Chama hicho mkoani Mara Innocent Nanzabar Katika kikao cha Halmashauri Kuu ya chama  Wilayani rorya Mkoani Mara


Naye Mwenyekiti wa Chama cha Maapinduzi Wilayani rorya ameongeza kuwa katika uchaguzi unaoendelea wa Mabalozi na Pamoja na Matawi hawatakubali kiongozi ambaye hafuati maagizi kutoka ngazi za juu.


Robert Manjebe Ni katibu wa wazazi mkoa wa Mara akazidi kusisitiza kwa wanachama hao kufuata katiba ya Chama hicho.


Aidha Katibu wa chama cha mapinduzi Wilayani rorya Mkoani Mara akisoma taarifa kwa Mwenyekiti wa chama hicho anabainisha changamoto walizokumbana nazo katika utendaji kazi.


 katibu wa ccm wilaya ya rorya akitoa tarifa mbele ya wajumbe.



 wajumbe wakimfatilia mwenyekiti katika mkutano huo
 samweli kiboye mwenyekiti wa ccm rorya almarufu namba tatu akizungumzakatika mkutano wa halamshauri kuu.
 wajumbe wakiwa makini kabisa kufata kinachotelewa.


Powered by Blogger.