BALOZI WA JAPANI NCHINI AAHIDI MAKUBWA MKOANI MARA



Barozi wa japan nchini Tanzania masaharu yoshida ametoa msaada zaidi ya shilingi miamoja sabini kwa ajili ya kuboresha miundo mbinu pamoja  nahuduma bora katika kituo cha afya cha mrangi kilichopo wilayani musoma mkoani mara kwa ajili ya kujenga nyumba za wauguzi  na wafanyakazi,choo cha wagonjwa shimo la kutupia kondo la nyuma na kurekebisha tanuru la kuchomea taka za hospitalini kwa ajili ya kuwapa wagonjwa huduma safi na salama.

Ambapo utiaji saini wa mradi wa upanuzi wa kituo cha afya cha murangi lengo nikuiwezesha  hospitali hiyo iliiwe  na huduma sitahiki ambapo kila mwananchi atahudumiwa  ipasavyo katika kituo hicho nakuondokana na adha ambayo walikuwa  wakiipata kipindi cha nyuma kwa kupata huduma katika hospitali ya mkoa ambapo niumbali mrefu kutoka katika kijiji hicho.
 
 “Ninafuraha kubwa na niheshima kwangu kusaini mkataba wa mradi huu mpya kupitia mfuko wa mpango wa miradi midogo midogo  kwa ajili ya usalama wa binadamu”

Kituo hicho kilijengwa mwaka elfu moja mia tisa na sabini na mbili  kikiwa kituo kikubwa cha afya na wagonjwa wengi wa rufaa hutoka zahanati nane wilayni hupelekwa katika kituo hicho nakufanya kuwa na ugumu wa utoaji huduma ambapo vifaa tiba katika kituo hicho hazijitoshelezi kutokana na idadi kubwa ya wananchi wanao hudumiwa katika hospitali hiyo.

Pia alisema kuwa serikali ya japani imeihakikishia serikali ya Tanzania itaendelea kutoa michango yake katika kusaidia mpango huo wa upanuzi wa kituo hicho cha afya.

Naye mbunge wa musoma vijijini ambae pia niwaziri wa nishati na madini profesa sospeter muhongo alisema kuwa mradi huo utachukua mwaka mmoja kukamilika  nahatimae kukabidhiwa nakuupongeza ubalozi wa japani kwa ajili ya tiaji saini wa kiasi cha pesa hicho kwani itasaidia katika utaoji wa huduma mbalimbali nchini tanzania.

Aidha anarose nyamubi mkuu wawilaya ya butiama ambae pia alimwakilisha mkuu wa mkoa wa mara aliwataka wananchi kukitumia kituo hicho kwa ajili ya huduma nakuachanana natabia za kukimbia kwenda kwa waganga kwa ni kituo hicho ndio suluhisho kwa wananchi wawilaya hiyo, wakati huo huo mwenyekiti hali mashauri ya musoma vijijini pamoja na mkurugenzi wa halamshauri ya musoma vijijin wali wataka wananchi kuachana naiasa ambazo hazina mbele wala nyuma nakuwaunga mkono viongozi wanaotaka maendeleo nakuahidi kuulinda mradi huo.
“Tunaahidi hakuna pesa itakayoliwa tutaurinda mradi huo waziri wetu muhongo amekuwa tofauti na viongozi wengine yeye anawaleta viongozi wenzake mnawaona nasisi tunasema hakuna hata senti itakayoliwa kwenye mradi huu”alisema mwenyekiti
Wakati huo huo balozi huyo alitoa salam za pole kwa tetemeko la ardhi kubwa lililokumba mkawa kagera ambapo alisema japani ipo pamoja na Tanzania katika kipindi hiki kigumu huku aliahidi kuendelea kusaidiana katika matatizo hayo.

kulia nui balozi wa japani nchini tanzania kushoto ni mkurugenzi musoma vijini wakionyesha mkataba

balozi akiwasili katika hospitali ya mlangi akisalimiana na viongoz wa vyama vya siasa













Powered by Blogger.