TGNP MTANDAO WATETEA BAJETI YENYE MILENGO SAWA WA KIJINSIA
na Mikakati ya TGNP Mtandao kuhakikisha Halmashauri zinapotenga bajeti
zao zinakuwa na milengo ya Kijinsia
Mara wakiimba wimbo uliobeba ujumbe katika kutetea haki na usawa pindi
halmashauri zinapokuwa zinapitisha na Kupanga bajeti zao.
Tarime kutoka idara tofauti ikiwemo idara ya Kilimo, Maendeleo ya
Jamii, Fedha Vituo vya taarifa na maarifa Regisheri na Nyakonga pamoja
na Watendaji wa kata hizo
Warsha inaendelea katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Tarime Mkoani Mara.
Siwema
Sylivester kutoka idara ya Maendeleo ya jamii kwa niaba ya Mkurugenzi
wa Halmashauri ya Wilaya ya Tarime akijibu hoja zilizowasilishwa katika
Warsha hiyo.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Tarime Moses Misiwa Yomami akifungua rasmi warsha hiyo.
Maigizo yaliyobeba ujumbe
Risala kwa Mgeni rasmi.
Sylivanus Gwiboha Afisa Kilimo Halmashauri ya Wilya ya Tarime akichangia hoja katika warsha hiyo