AUAWA NA WANANCHI WENYE HASIRA KALI KWA KUIBA SIMU;




 
samahani msomaji kwa picha hiii.
Na makalinews.MaraAfariki dunia kwa kuiba simu

Mtu mmoja aliefahamika kwa jina la Charles angulo amepigwa hadi kufariki dunia huko katika kijiji cha Rwang’enyi katika kata ya Nyamtinga huko wilayani Rorya mkoani Mara kwa kudaiwa kuiba simu.
Baada ya kuwepo kwa tarifa hizo tumezungumza na mwenyekiti wa serikali ya kijiji hicho  cha Nyarombo Bwana Josephy Yahaya ilikujua ukweli kuhusiana tukio hilo lakijana wakijiji chake kukamatwa katika kijiji kingine akiwa  anatuhuma ya wizi,amekiri kuwepo kwa tukio hilo.
Ambapo amesema kijana huyo alienda kuiba kijiji cha Rwang’enyi kilichpo nje kidogo ya kijiji chake  ndipo akawa amekamatwa na kupigwa hadi kupoteza maisha ambapo wenzake watatu aliokuwa nao wakatokomea kusikojulikana.
Mwenyekiti amesemakuwa hatakama ingekuwa vipi asingeweza kiongozi yoyote kuzuia kwani ilikuwa usiku na wananchi walikuwa niwengi hakuna kiongozi ambae angeweza kuwazuia kufanya walilokuwa wanataka kufanya.
Amesema kuwa pamoja na watu kujishughulisha lakini katika jamii wapo watu ambao akiri yao inawaaleekeza  kazi yao nikuiba ambapo Baadhi ya viongozi wamekuwa wakijitoa kutoa elimu ya kutokujichukulia sheria mkononi lakini hakuna mtu anaezigatia hilo hata diwani wkata ya nyamtinga pamoja na diwani wamekuwa wakijtuma kutoa elimu yawatu hawa kuacha kufanya mambo ya ajabu lakini hakuna linazingatiwa imefikia hata hatua ya kuwaadhibu wengine lakini hakuna.
Aidha Maiko Wambura yeye ameonyesha kusikitishwa na tukio hilo nakuwataka wananchi kutokujichukulia sheria mkononi ambapo amesema nimahakama peke yake inayoweza kuhukum Raia na simwanandamu lakini pia akatumia fursa hiyo kuwataka vijana ambao wamekuwa nitatizo kwa kulalamikiwa basi kujishughulisha ilikuondokana na matatizo ambayo nikero kubwa kwa wananchi ambayo inaweza kuwaletea matatizo familia zao nawao wenyewe kwakupoteza maisha.
 source MAKALIBLOG.
Powered by Blogger.