NMB MUSOMA WAKABIDHI VIFAA TIBA VYA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI TANO;

 
 NA MAKALIBLO
sipicha ya tukio husika


Bank ya nmb musoma imetoa msaada wa vifaa tiba ikiwemo vitanda  nane vye thamani ya zaidi ya shilingi milioni  tano katika hospitali ya nyasho iliyoko mjini musoma mkaoani mara ikiwa lengo nikutimiza adhima ya kurudisha shukrani kwa wateja wao kwa faida ambayo awanaipata.

Akikabidhi vifaa hivyo mbele ya mkuu wawilaya musoma meneja wa kanda wa banki ya NMB bw, abrahaman Augustine amewapongeza wananchi wawilaya hiyo kuendelea kuitumia banki hiyo nkuwashukuru kuhuiana kwa nmb wanatoa kipaumbele kuhusian na swala la afya kwani nijambo mhimu kuliko kitu chochote.
Amesema kuchangia vifaa tiba hivyo ni mmoja ya adhima yao katika vipaumbele wanavyovitoa katika jamii nikuhudumia katika sehemu ya afya kwani changamoto katika swala la afya na elimu  ndio kipaumbele cha NMB ambapo amesema walifarijika kusihusiana naombi yaliyotolewa na hospitali yanyasho ambapo kwao nikama sehemu ya ushiriki katika huduma za kijamii.
Amesema kila wanachokipata kama NMB kutoka kwa wanajamii wanaoshirikiana najamii inayowazunguka na jamii wanayofanya nayo biashara niwajibu wao kuihudumia ambapo kila mwaka wamekuwa wakitenga asilimia moja kwa faida baada ya kodi nakuipeleka katika jamii kwakushirikiana na serikali wakati wamajanga yanayogusawatu wengi moto,mafuriko, tetemeko la ardhi ambapo mwaka mwaka huu wametenga kiasi cha shilingi bilioni moja kama sera ya uchangiaji inavyowataka.
Kwa upande wake mkuu wawilaya ya musoma DR. vicent naahano amewashukuru NMB kwa msaada walio utoa kwani nijambo la kufurahia kutokana na michango yao wanayoendela kuitoa lakini pia kutokata tamaa lakini pia kuendelea kutoa shukrani kwa wateja wao faida wanayoipata kwani wao nikama darasja sasa la mkoa wa mara.
      ‘Nmb tunawashukuru sana mmetoa hizo milioni tano sihaba kwani tumepita huko kwenye vyumba vya wagonjwa wakina mama wanalala wawili wawili bado tunachngamoto msichoke kutoa shukrani kwa wateja wenu’’ alisema vicent naahano.
Lakini pia amesema wasiwakimbie kwani baado hospitali hiyo wanasafari ndefu ya upanuzi wa jengo la hospitali kwani hospitali hiyo inalaza wagonjwa wajinsia mmoja wakike kutokana na kukosa baadhi ya vifaa tiba ikiwemo majengo kwa ajiri ya kutolea huduma hivyo bado wanahitaji msaada zaidi kutoka kwa  NMB.
   ‘Bado tunahitaji upanuzi wa vyumba vya wagonjwa mkitupa badae tena kama mkitupa nyie mkitupa mifuko miambili miatano nitaomba magereza watatusaidia basi tutakuwa tumefika mbali sana kwahiyo nmb tunawashukuru sana.alisema naahano.
Kwaupande wake naibu meya wamanispaa ya musoma bw shabani jala wambura alizungumza kwaniaba ya meya amewataka NMB kuangalia zaid naswala uchangiaji elimu kwani nimmoja ya kuboresha maendeleo ya sekta hizo lakini pia ameyataka makampuni mengine kuiga mfano wa nmb wanavyofanya kwa kurusha wanachokipata kwa jamii inayowazunguka.
Hospitali yanyasho inahudumia wananchi wamanispaa ya musoma na nje ya manispaa hiyo ambapo kinatoa huduma  upasuaji wadharula zaidi ya wakati elfu thelathini na tano namiatatu albaini na saba huku wahudumu wa hospitali hiyo wakiwa hawakidhi mahitaji ya kuhudumia wananchi wanaohudumiwa katika hospitali hiyo.

Powered by Blogger.