MKURUGENZI WA MARIE STOPES AWATAKA WANAMARA KUJITOKEZA KUCHUNGUZA AFYA



Na Makaliblog;
 
Mkurugenzi wa maries topes BW.MWEMEZI NGEMERA,amewataka wakazi wa mkoa wamara kujitokeza kuchunguza afya
katika shughuli waliyoiandaa kwa ajiri ya uchunguzi  wa magonjwa mbalimbali ikiwemo saratni ya shingo ya kizazi ambayo inafanyika katika wilaya ya musoma mkoa mara.
Watanzania wametakiwa kutumia fursa mbalimbali zinazojitokeza ikiwemo upimaji wa magonjwa mbalimbali ikiwemo saratani ya shingo yakizazi,vvu, na matumizi ya uzazi wa mpango mashirika yanapokuwa yanajitokeza katika jamii kwa ajili ya kutoa huduma hizo basi wawe nakipaumbele kwa ajiri ya kupima magonjwa yaliyopewa kipaumbele.

Hayo ya mesemwa na mkurugenzi wa marie stopes  BW.MWEMEZI NGEMERA,alipokuwa akizungumza na mwandishi wa habari hizi amesema wananchi waaondokane na tabia  ya kusubiri kuugua ndipo waaende kucheki afya zao hivyo amewaomba kuzitumia fursa za upimaji afya zinazotolewa na maries topes kwa ajiri ya uchunguzi wa afya kwa akina baba,mama pamoja na vijana.

Ambapo ‘maries topes’ kupitia kwa mkurugenzi wake bw, mwemezi ngemera amesema wako mkoani mara kwa ajiri ya kusadia wakazi hao kuendesha zoezi la upimaji  lakini pia kutoa huduma mbalimbali ikiwemo kuelekeza jinsi ya kupanga uzazi kwa wanandoa nahata ambao hawako katika ndoa.
Ngemera amewataka wanamara kujitokeza kwani huduma hizo zitolewa bure bila kuchagiwa gharama yoyote lakini pia wamepanga utaratibu wa kuwapa rufaa endapo kama kutakuwa na mgonjwa atakae patikani kumsafirisha na kumpeleka katika hospitali ambapo ataenda kupata huduma kuhusian na ugonjwa amabao amekutwa nao.
Pia amesema kuwa utaraibu huu utakuwa katika maeneo kwani wanao watalamu wanaozunguka katika maeneo mbalimbali kwa ajiri ya kutoa huduma za uzazi wa mpango pamoja na magonjwa mbalimbali ambayo wameyapa kipaumbele kuyapima.
Mkurugenzi huyo amesema mkoa wa mara nikati ya mikoa ambayo katika swala la uzazi wa mpango hawajafikia hata asilimia 20% kutokana na kukumbwa na mila potofu baina ya wakazi wake kwamba mtu ambae atapanga uzazi hatoweza kushiriki tendo la ndoa jambo ambalo sikweli.
  ‘’Baadhi ya watu wanaendekeza sana mila kwambasasa nikifunga kizazi sitoweza kushiriki tena aaah wanataka kutufungia.alisema ngemera’’
Marie stopes wamekuwa wakitoa huduma mbalimbali kupitia vituo mbalimbali viliko mikoani ambapo wialayni musoma kituo chao kipo katika kata ya kamu nyonge nakwamba kuna usafiriambao unakuwa nimaalum kwa ajiri ya kuwafata watu ambao hawatoweza kufikamaeneo hayo kwaajiri  ya huduma.

Aidhn nafsi hii nia dhimu sana kujitokeza hivyo wanamara na watanzania wote tuzitumie vyema zinavyokuwa vimejitokea kama ambavto mkurugenz wa maries topes amejitoa pamoja na wafanyakai wake ilikuwaokoa watanzania walio namatatizo ya magonjwa mabalimbali kwani huduma hizo zinatolewa bila malipo.
Powered by Blogger.