NYUMBA YA TEKETEA KWA MOTO MKOANI MARA.TIZAMA PICHA ZA MATUKIO TOFAUTI; UNAWEZA KUTAZAMA VIDEO YATUKIO LA MOTO


Katikati ni kamanda wa jeshi la polisi mkoani Mara Jafarry mohamed, akiwa katika harakati za kuzima moto
Wananchi wa Jeshi la wananchi Tanzania wakiunganisha mipira kwa ajiri ya kuzima moto 






maaskari wakishiri kwa pamoja kuzima moto huo


Moto mkubwa ambao chanzo chake bado hakijafahamika umezuka na kuteketeza vibaya ghala la kuhifadhia vifaa vya maofisini na mashuleni zikiwemo kemikali za maabara ambazo pia thamani yake bado haijajulikana mali ya mfanyabiashara Bw. STEVEN GIKARO mkazi wa eneo la mtakuja kata ya Mwisenge wilayani Musoma mkoani Mara.

Tukio hilo lime tokea katika kata ya mwisenge iliko nje kidogo ya manispaa ya musoma mkoani mara huku chanzo cha moto huo bado hakijafahamika moto huo pia umeteketeza bidhaa za stationary na kemikali za maabara ambazo thamani yake hakufahamika.


            SOURCE MAKALIBLOG


         TANGAZA NASI KUPITIA 0754295996
Powered by Blogger.