Breaking News!! MWENYEKITI WA CCM MBEYA APIGWA RISASI
 Mwenyekiti
 was CCM wilaya ya Mbeya mjini ndugu Ephrahim Mwaitenda akifikishwa 
hospitali ya Rufaa mkoa wa Mbeya asubuhi ya leo Jumatatu Januari 30,2017
Mwenyekiti
 was CCM wilaya ya Mbeya mjini ndugu Ephrahim Mwaitenda akifikishwa 
hospitali ya Rufaa mkoa wa Mbeya asubuhi ya leo Jumatatu Januari 30,2017
Kulia ni kaimu Katibu wa CCM Mkoa wa Mbeya ndugu Lobe Zongo akimpokea 
Mwaitenda katika Hospitali ya rufaa ya mkoa wa Mbeya baada ya kudaiwa 
kupigwa risasi. Chanzo Kalulunga blog
 

 
 
 
 
 
