MHONGO ATEMBELEA MGODI ULIOANGUKA;



 Image result for PICHA ZA MHONGO AKIWA MGODINIImage result for PICHA ZA MHONGO AKIWA MGODINI
 SIPICHA  siza TUKIO HUSIKA
Siku chache baada ya mgodi wa buhemba kuangukiwa na kifusi na hivyo kusababisha vifo na majeruhi kwa baadhi ya wachimbaji shirika la madini la taifa ambalo ndiyo mmiliki wa mgodi huo imewapatiwa wachimbaji wadogo eneo hilo
kwaajili ya kuendeshea shughuli za uchimbaji kihalali ili kuwasaidia wananchi na vijana wa eneo hilo kujikwamua kiuchumi.
Ambapo waziri wanishati na madini mh, profesa sosepeter mhngo ametembelea katika mgodi huo ilikujione hali halisi iliyojitokea nakupelekea baadhi ya wachimbaji kupoteza maisha wakati wakiwa katika shughuli za utafutaji katika mgodi huo.
Hayo yamesemwa na meneja wa Stamico  BW. LUCAS MLEKWA alipokua akizungumza wakati wa ziara ya waziri wa nishati na madini PROF. SOSPETER MUHONGO alipotembelea mgodi uliofukiwa na kifusi.


Mlekwa amesema kutokana na wakazi wengi wa maeneo hayo kutegemea uchimbaji wa madini kama sehemu ya kuinua uchumi stamico imeona ni vyema ikawapatia wananchi eneo hilo ili waendelee kutumia kama ilivyokuwa hapo awali. 


Uamuzi huo wa stamico kuruhusu shughuli za mgodi katika eneo hilo ukaungwa mkono na waziri wa nishati na madini PROF. SOSPETER MUHONGO na kabla ya kutoa ridhaa anaagiza kufungwa kwanza kwa mgodi huo mpaka taratibu zitazokamilika.


Awali waziri muhongo alipata fursa ya kuzungumza na waokoaji na ndugu walioondokewa na wapendwa na hapa 
  Image result for PICHA ZA MHONGO AKIWA MGODINI
anatoa tamko linalotaka kukamilika kwa zoezi la uokoaji ifikapo jumatatu.
Powered by Blogger.