BODABODA TUMIENI GPS FASTER KUPUNGUZA UHARIFU
AKIONGEA NA BODABODA |
MWAKILISHI WA KAMPUNI YA THE LEARNERS FOUNDATION LIMITED (TLF)JOYCE JULIUS AKITOA SOMO KWA WAENDESHA PIKIPIKI HAO HII LEO |
BODABODA TARIME MJINI |
MWENYEKITI WA CHAMA CHA WAENDESHA PIKIPIKI BODABODA MARWA MHECHI AKIONGEA NA WAENDESHA PIKIPIKI KABLA YA SEMINA KUANZA RASMI HII LEO |
Kwa upande wake Mwenyekiti wa chamacha Waendesha pikipiki
maarufu Bodabaoda wilayani taroime Tarime
Marwa Muhechi alisema kuwa kifaa hicho
kitawasaidia waendesha pikipiki ikiwa ni pamoja na kupunguza wimbi la wizi
pamoja na kusaidia jeshi la polisi katika kutambua boda boda watakao jiusisha
katika waharifu kuweka pikipiki hizo
salama muda wote.
“Sisi kama
wenyeviti wa bodaboda hapa nchhini tumekuwa tukipata changamoto mbalimbali
katika uongozi pale wizi wa pikipiki unapotokea lakini suala hili la GPS Faster
litakuwa mkombozi wetu na jeshi la polisi hivyo sasa boda nawasihi wakatumie
fursa hizi ili kuondokana na hasara wanazozipata pae pikipiki zao zinapoibiwa”
alisema Mhechi.
MKURUGENZI WA STICLAB CHRISTIAN MWETA AMBAO NI WAVUNBUZI WA KIFAA HICHO CHA GPS FASTER AKIELEZEA JINSI KINAVYOFANYA KAZI KIFAA HICHO |